PataNyumba.tz
← Nyuma
TSh 58M
Kinyerezi Kibaga Β· Apartment
Kuuza
Ilipochapishwa
Jun 27, 2026
Vifaa
mastersebulejikofensimajiumemeparking
Dalali
@dalaliwakishua
NUNUA KIWANJA AU NYUMBA BILA STRESS πŸ”₯
Wasiliana na Dalali (WhatsApp)Tazama chapisho la awali kwenye Instagram β†’
β–ΈMaelezo ya awali
🏘️ APARTMENTS ZINAUZWA – KINYEREZI KIBAGA

πŸ’₯ Fursa Adimu ya Uwekezaji!

πŸ“ Eneo: Kinyerezi Kibaga
πŸ’° Bei: Milioni 58 Tu!
πŸ“ Ukubwa wa Kiwanja: SQM 400

Sifa za Nyumba:

βœ… Apartments 3
βœ… Kila nyumba ina Master, Sebule na Jiko
βœ… Zipo ndani ya fensi
βœ… Gari linafika hadi kwenye nyumba
βœ… Maji na umeme vinapatikana
βœ… Zote tayari zimepangishwa

πŸ’΅ Mapato ya sasa: Kila nyumba inapangishwa TSh 250,000 kwa mwezi.

πŸ“ˆ Fursa ya kuongeza mapato: Kadri maendeleo ya eneo la Kinyerezi Kibaga yanavyoendelea, kodi inaweza kufikia TSh 300,000–350,000 kwa kila nyumba kulingana na maboresho na hali ya soko. 

πŸ”₯ Nunua leo, anza kupata mapato ya kodi mara moja huku thamani ya mali yako ikiendelea kuongezeka.

πŸ“ž Service Charge: 30,000/=
πŸ“ž Wasiliana: +255 688 412 890

Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!

Nyumba zinazofanana